Tuesday, August 18, 2015

RAIS KIKWETE NA WAZIRI MAGUFULI WAMFALIJI MJANE

Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Waziri wa Ujenzi Dkt John Pombe Magufuli wakimfariji mjane wa Marehemu Iddi Ubwa Mazongera 
aliyekuwa Diwani wa Kata ya Yombo Wilayani Bagamoyo  mkoa wa Pwani aliyefariki jana na kuzikwa leo kwenye makaburi ya Kichangani, Bagamoyo. Katikati ni Mama Salma Kikwete


PICHA NA IKULU

No comments:

Post a Comment