Sunday, July 19, 2015

WAZIRIU MKUU PINDA AKUTANA NA WATAFITI

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda  na mkewe Tunu (kushoto) wakisalimiana na watafiti wa masuala ya mazingira , wanawake na wanyamapori Profesa Tim Cars (wapili kulia) na profesa Monica Malder (wapili kushoto)  kijijini kwake Kibaoni wilayani Mlelele Julai 19, 2015. Watafiti hao wenye makazi  yayo kijijini hapo tangu 1995 .

No comments:

Post a Comment