Tuesday, February 10, 2015

TOENI MAONI JUU YA SAKATA LA FEDHA ZA AKAUNTI YA ESCROW

Ndugu watembelea mtandao wangu kuna suala ambalo limeibuka linalohusiana na sakata la Fedha alizolipwa Father Rugemalila toka Account ya ESCROW, wengi wametoa tafsiri mbalimbali juu ya fedha ambayo ni mali halali ya Bw. Rugemalila, naomba tupeane ushauri hivi ni haki kuwawajibisha wale walipewa mgao wa fedha hiyo kama zawadi toka kwa RUGEMALILA? au mnaonaje sakata hilo lina mlengo wa masuala ya kisiasa hasa tunapoelekea kwenye uchaguzi mkuu 2015? kazi kwenu ndugu watembeleaji wa mtandao www.audax-kagera.blogspot.com.

Na mhariri

No comments:

Post a Comment