Saturday, February 21, 2015

RAIS KIKWETE AWA MWENYEKITI MPYA WA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI

 Rais Jakaya Kikwete,Naibu Rais wa Kenya,William Rutto na maafisa
wengine wakiwa kwenye Jengo la mikutano wa kimataifa la Kenyatta
International Convention Center(KICC)Nairobi,Kenya wakati wa kuimba
wimbo wa taifa la Tanzania katika mkutano wa kawaida wa 16 wa Wakuu wa
nchi za Afrika Mashariki.

Kutoka kushoto ni mgeni mwalikwa,Rais wa Sudani Kusini,Salva Kiir,Rais
wa Burundi,Pierre Nkurunziza,Rais Jakaya Kikwete(Tanzania),Rais Uhuru
Kenyatta(Kenya)Rais Yoweri Museveni(Uganda)Rais Paul Kagame(Rwanda)na
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki(EAC)Dk Richard Sezibera
wakiwa kwenye ukumbi wa mikutano kwenye  mkutano wa kawaida wa 16 wa
Wakuu wa nchi za Afrika Mashariki.

Rais Jakaya Kikwete(kushoto)akipokea bendera ya Afrika
Mashariki(EAC)kutoka kwa Rais wa Kenya,Uhuru Kenyatta ikiwa ni ishara
ya kumkabidhi Uenyekiti wa  EAC  kwenye  mkutano wa kawaida wa 16 wa
Wakuu wa nchi za Afrika Mashariki uliofanyika leo.20/2/2015

PICHA NA IKULU

No comments:

Post a Comment