Friday, February 13, 2015

PINDA AAGANA BALOZI WA SAUDI ARABIA NCHINI

 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiagana na balozi wa Saudi Arabia nchini Mhe. Hani Mominah baada ya mazungumzo yao.  Balozi huyo alikwenda ofisini kwa Waziri Mkuu  jijini Dar es salaam  Februari 13, 201 kuaga, (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akimkabidhi zawadi balozi wa Saudi Arabia Nchini, Mheshimiwa Hani Mominah  baada ya mazungumzo yao. Balozi huyo alikwenda Ofisini kwa Waziri Mkuu jijini Dar es salaam Februari 13, 2015 kuaga. (Picha na ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

Post a Comment