Thursday, February 19, 2015

KIKAO CHA KAWAIDA CHA BARAZA LA MADIWANI KATIKA HALMASHAURI YA MANISPAA YA BUKOBA

 Mwenyekiti wa manispaa ya Bukoba , alexander Ngalinda akisikiliza kwa makini maelezo ya mkuu wa mkoa wa Kagera, John Mongella.
 Mkuu wa mkoa wa Kagera, Mongella kiongea na madiwani ya manispaa ya Bukoba, alikuwa akitoa ufafanuzi juu ya uamzi wa mkoa kujenga chuo cha VETA katika wilaya ya Bukoba  vijijini.
 Baadhi ya madiwani wakimsikiliza mkuu wa mkoa.
 Diwani wa kata ya Nshanbya,
 Baadhi ya wakuu wa idara katika manispaa ya Bukoba walioudhuria kikao hicho.
Mwenyekiti wa CHADEMA katika manispaa ya Bukoba, Victor Sherejei (kulia) na mkuu wa kituo cha polisi kati Halima.



No comments:

Post a Comment