Tuesday, January 27, 2015

UZINDUZI WA KAMPENI YA ZUIA AJALI HAPA KATIKA MANISPAA YA BUKOBA

 Mwenyekiti wa kamati ya usalama barabarani ya mkoa wa Kagera, Winston Kabantega kushoto, William Mkonda kulia kwake ambaye ni mkuu wa kikosi cha usalama barabarani mkoani Kagera wakiiimba wimbo wa uzinduzi wa kampeni ya zuia ajali hapa.
 Baadhi ya maofisa wa kikosi cha usalama barabarani walioudhuria uzinduzi huo.

 Baadhi ya walimu walioshiriki kwenye hafla ya uzinduzi wa kampeni ya zuia ajali hapa.

No comments:

Post a Comment