Sunday, December 28, 2014

MAMA PINDA AKUTANA NA WANAWAKE WA CCM

 Mke wa Waziri Mkuu, Mama Tunu Pinda akisalimiana na baadhi ya wajumbe wa Baraza la Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) wilaya ya Mlele mkoani Katavi wakati alipowasili kwenye shule ya Sekondari ya Mamba kufungua Mkutano wa Baraza hilo.
 Wajumbewa Baraza la Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) wilaya ya Mlele,mkoani katavi wakimsikiliza Mgeni rasmi Mama Tunu Pinda wakati alipofungua mkutanowao katika Shule ya Sekondari ya Mamba Desemba 28, 2014. (Picha na OfisiyaWaziriMkuu)

No comments:

Post a Comment