Wednesday, March 19, 2014

MAMBO YA BUNGE LA KATIBA

  Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba, Kingunge Ngombale- Mwiru (kulia) na Augustine  Lyatonga Mrema wakiteta, bungeni jini Dodoma Machi 19, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba, Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Mahusiano na Uratibu, Stephen Wasira kwenye viwanja vya bunge mjini Dodoma Machi 19, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

Post a Comment