Wednesday, February 26, 2014

WAZIRI MKUU BUNGENI DODOMA

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na wabunge wa Bunge Maalum la Katiba nje ya ukumbi wa Bunge mjini Dodoma, Februari 25, 2014. Kutoka kushoto ni Abdallh Sharia  Ameir, Riziki Said Lulida na  Jerome Dismas Bwausi.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

Post a Comment