Monday, February 24, 2014

SHEREHE YA UZINDUZI WA MAHAKAMA YA RUFAA YA MAHAKAMA KUU KANDA YA BUKOBA

 Baadhi ya majiji walioudhuria ufunguzi wa mahakama rufaa ya mahakama kuu kanda ya Bukoba uliofanywa na jaji mkuu Othman Chande.
 Baadhi ya maofisa wa serikali, kushoto ni katibu tawala wa mkoa wa Kagera, Nassor Mnambila.
 Baadhi ya walioudhuria sherehe hiyo,kulia ni mkuu wa wilaya ya Bukoba, Bi Ziporah Pangani.
 Bw. Kadushi Mwanasheria wa serikali.
 Baadhi ya mawakili wa serikali na mawakili wa kujitegemea.

Mh.Jaji Luanda akiteta jambo na majaji wenzake.

No comments:

Post a Comment