Sunday, February 23, 2014

KILELE CHA MAADHIMISHO YA BONDE LA MTO NILE

 Mkuu wa wilaya ya Bukoba Bi. Ziporah Pangani akiongea wakati wa zoezi la upandaji wa miti uliofanyika katika shule ya msingi ya Mugeza mseto.
 Katibu tawala wa mkoa wa Kagera, Nassor Mnambila.





Mkuu wa mkoa wa Kagera, kanali Mstaafu Fabian Massawe akishiriki kwenye zoezi la upandaji wa miti.

No comments:

Post a Comment