Saturday, January 18, 2014

WAZIRI MKUU AKIKAGUA MAREKEBISHO YA UKUMBI WA BUNGE

 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akikagua marekebisho yanayofanyika katika ukumbi wa Bunge  mjini Dodoma Januari 18, 2013 ikiwa ni maandalizi ya  Bunge la Katiba linalotarajiwa kuanza mwezi ujao. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu

 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda  akikagua kazi ya uwekaji viti vipya  katika ukumbi wa Bunge mjini Dodoma Januari 18,2014 ikiwa ni maandalizi ya  Bunge la Katiba linalotarajiwa kuanza mwezi ujao. (Picha na Ofisi yaWaziri Mkuu)


No comments:

Post a Comment