Thursday, December 26, 2013

WAZIRI MKUU PINDA AKIWA KATAVI

 Mke wa Waziri Mkuu, Mama Tunu Pinda akisalimiana na watoto  baada ya ibada ya Krismasi iliyofanyika  kijijini kwa Waziri Mkuu, Kibaoni wilayani Mlele, Katavi Desemba 25,2013. (Pichana Ofisi ya Waziri  Mkuu)
 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na wazee baada ya ibada ya  Krismasi iliyofanyika kijijini kwake, Kibaoni wilayani  Mlele, Katavi, Desemba 25, 2013. (Picha na Ofisi ya Waziri  Mkuu)

No comments:

Post a Comment