Sunday, December 22, 2013

KAPOTIVE STAR SINGER YAZINDUA ALBAMU YA ZAWADI YA KRISMAS

Baba askofu msaidizi wa jimbo la Bukoba Methodius Kilaini akimpokea mstahiki Meya wa manispaa ya Bukoba, Anatory Amani, aliyekuwa mgeni rasmi wakati wa uzinduzi wa albamu ya zawadi ya kristimas  ya kundi la wasanii wa nyimbo za injili la Kapotive star Singer uliofanyika kwenye ukumbi wa klabu ya Linas.
Baadhi ya wageni meza kuu, toka kushoto Philbert Nyerere, mwenyekiti wa kamati ya maandalizi ya uzinduzi wa albamu, Meya Anatory Amani, Askofu Methodius Kilaini na Padre Alcheleus.
Wasanii wa kikundi cha Kapotive star Singer.
Kulia ni mshereheshaji maarufu mkoani Kagera Bw. Lutakwa, anayefuata ni mratibu wa kundi hilo Bw. Kagya.
Katikati ni msanii maarufu Bw. John Mgango aliyetunga wimbo wa hamasa ya maendeleo ya mkoa wa Kagera.
Wasanii wa Kapotive stra singer wakizindua albamu yao ya zawadi ya kristimas.
Kushoto  ni msanii maarufu nchini ambaye ni mwimbaji maarufu wa nyimbo za injili, Upendo Nkonyi, kulia ni mmoja wa wakurugenzi  wa mtandao huu, Margareth Abella Mwesiga.

No comments:

Post a Comment