Tuesday, November 19, 2013

MWENYEKITI WA WA WABUNGE WANAWAKE WA BUNGE LA AFRIKA AWASILI MKOANI KAGERA

Mwenyekiti wa wabunge wa bunge la wanawake la afrika Bi Bernadetha Mshashu muda mfupi baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Bukoba.
Bi. Mshashu akisaini kitabu cha wageni.
Akisalimiana na viongozi na wanawake waliofika kwenye uwanja wa ndege kumlaki.
Baadhi ya wanawake waliofika uwanjani kumlaki.
Mkuu wa wilaya ya Bukoba Bi Ziporah Pangani kulia alikuwa miongoni mwa wanawake waliojitokeza kumlaki Bi. Mshashu ambaye pia ni mbunge wa viti maalumu mkoani kagera.
Mstahiki Meya wa manispaa ya Bukoba Anatory Amani mwenye miwami alikuwa miongoni mwa waliojitokeza kumlaki.

No comments:

Post a Comment