Saturday, November 30, 2013

MWENYEKITI WA CHADENA MKOA WA LINDI AUANDIKIA BARUA UONGOZI WA CHADEMA YA KUJIHUDHURU






ALLY OMARY CHITANDA
MWENYEKITI WA CHADEMA
MKOA WA LINDI

30/11/2013

KATIBU WA CHADEMA
MKOA WA LINDI


YAH; KUJIUZURU UENYEKITI WA MKOA

Somo la hapo juu lahusika.

Napenda kuchukua nafasi hii kukuarifu kuwa kwa hiari yangu bila ya kushawishiwa na mtu yeyote, nimeamua kujiuzuru nafasi ya Uenyekiti wa Mkoa tangu leo tarehe 30/11/2013.

Nashukuru sana kwa ushirikiano wako pamoja na Vionmgozi wote wa Baraza la Uongozi pamoja na Baraza la Mashauriano la Mkoa, lakini pia niwashukuru Viongozi wote wa Majimbo naWilaya hasa Nachingwea ambao kwa kiasi kikubwa, wameniwezesha kufika hapa hasa wakati mgumu wa Ujenzi wa Chama  na  kugombea Ubunge 2005 na 2010.Matarajio yangu ya kuweza kukomboa wanyonge kupitia CHADEMA kwa sasa  sioni kama yanaweza kufikika.

Nitabaki kuwa Mwanachama wa kawaida na ninaahidi kuwa Mwanachama  mwaminifu na pale  nitakapohitajika  nikotayari  kusaidiana na Viongozi  kujenga Chama.Nawataki kazi njema na Ujenzi wa Chama.


Ahsante kwa ushirikiano.


………………………………..
A.O. CHITANDA

No comments:

Post a Comment