Saturday, October 26, 2013

WAZIRI MKUU PINDA AZAWADIWA CHINA

Waziri Mkuu, Mizengo PInda kipokeazawadi ya picha  kutoka wa  Gavana wa jimbo la  Guangdong nchini China, Bw. Zhu Xiaodan  baada  ya mazungungumzo yao kwenye hoteli  ya Dong Fang mjini Guanzhou akiwa katika ziara ya kikazi nchini China Oktoba 24, 2013. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

Post a Comment