Wednesday, October 23, 2013

MAMBO YA PROFESA TIBAIJUKA

 Waziri wa ardhi, nyumba na makazi na mbunge wa jimbo la Muleba Kusini Profesa Anna Tibaijuka wa pili toka kushoto, akiwa kwenye picha ya pamoja mara baada ya kukagua vitalu vya miti aina ya pine, miti hiyo ni kukijengea uwezo chama cha mapinduzi katika kata ya Kagabilo.


 Jengo la taasisi ya Kajumulo iliyoko eneo Kagabilo, anayeonekana sio mwingine ni Profesa Anna Tibaijuka.
 Sehemu ya mandhari ya taasisi ya Kajumulo, hapa ni sehemu ya jiko.

Profesa Tibaijuka akiwa na mama yake mzazi anayekadiriwa kuwa na umri wa zaidi ya miaka 80.

No comments:

Post a Comment