Saturday, October 26, 2013

MAHAFALI YA 39 YA SHULE YA SEKONDARI YA KISHOJU

 Ayesiga kulia na Kalumuna Ivan kushoto.
 Mkuu wa wilaya ya Muleba Lembres Kipuyo akiteta jambo na Geofrey, Diwani wa kata ya Magatta Kalutanga wakati wa mahafali ya kidato cha nne ya shule ya sekondari ya Kishoju na harambee ya kutunisha mfuko wa kukarabati miundo mbinu ya shule hiyo.
 Baadhi ya wanafunzi wahitimu.



Kipuyo akihutubia.

No comments:

Post a Comment