Monday, October 07, 2013

BALOZI WA MAREKANI NCHINI AMALIZA MUDA WAKE

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika picha na Balozi  wa Marekani nchini Tanzania aliyemaliza muda wake Mhe Alfonso  Lenhardt  na mke wake  leo walipofika Ikulu kuaga na kumshukuru Rais na serikali yake kwa ushirikiano alioupata katika kipindi chake cha ubalozi hapa nchini.



 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimuaga mke wa Balozi  wa Marekani nchini Tanzania aliyemaliza muda wake Mhe Alfonso  Lenhardt  leo walipofika Ikulu kuaga na kumshukuru Rais na serikali yake kwa ushirikiano alioupata katika kipindi chake cha ubalozi hapa nchini. Mama Salma Kikwete alikuwepo pia katika kuwaaga wanadiplomasia hawa.

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimsindikiza Balozi  wa Marekani nchini Tanzania aliyemaliza muda wake Mhe Alfonso  Lenhardt   leo walipofika Ikulu kuaga na kumshukuru Rais na serikali yake kwa ushirikiano alioupata katika kipindi chake cha ubalozi hapa nchini.

No comments:

Post a Comment