Saturday, August 24, 2013

WAZIRI WA MALIASILI NA UTALII AKABIDHI PIKIPIKI 102 KWA VIJANA KWA LENGO LA KUWAONGEZEA KIPATO


 Baadhi ya viongozi wa CCM katika manispaa ya Bukoba.


 Balozi, Kagasheki akiwa amepanda moja ya pikipiki baada ya kuzikabidhi ikiwa ni ishara ya uzinduzi.

 Balozi Kagasheki akikabidhi pikipiki alizozitoa kwa mkopo katika manispaa ya Bukoba.

Balozi Kagasheki akiwa na wadau wa maendeleo mkoani Kagera.

No comments:

Post a Comment