Tuesday, August 27, 2013

TFDA YAKABIDHI MASHINE YA KUPIMA MADAWA BANDIA

  Mkurugenzi wa Uendeshaji wa Huduma Mamlaka ya Chakula na Dawa Tanzania (TFDA) Dk. Sikubwabo S. Ngendabanka Akitoa Neno Mabele ya Waandishi wa Habari ( Hawapo Pichani) Kabla ya Kukabidhi Maabara Hamishika.

Dk. Ngendabanka Akimkabidhi Rasmi Maabara Hamishika Kaimu Katibu Tawala Mkoa Bw. Richard N. Kwitega, Katikati ni Mganga Mkuu Hospitali ya Mkoa Dk. Khairoonisa Pathan.

No comments:

Post a Comment