Saturday, August 24, 2013

RAIS WA ZIMBAMBWE ROBERT MUGABE AAPISHWA


 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na viongozi wengine jukwaa kuu  uwanja wa Taifa wa michezo wa Harare, Zimbabwe, katika sherehe za kuapishwa Rais Robert Gabriel Mugabe Agosti 22, 2013.

 Marais wastaafu Mzee Benjamin Mkapa na mkewe mama Anna Mkapa na Alhaj Ali Hassan Mwinyi wakiwa katika uwanja wa Taifa wa michezo wa Harare, Zimbabwe, katika sherehe za kuapishwa Rais Robert Gabriel Mugabe Agosti 22, 2013.

No comments:

Post a Comment