Monday, August 26, 2013

RAIS KIKWETE AMWAPISHA MSAJILI MPYA WA VYAMA VYA SIASA

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimwapisha Msajili wa Vyama vya Siasa mpya Jaji Francis Mutungi Ikulu jijini Dar es salaam.


Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na  Msajili wa Vyama vya Siasa mpya Jaji Francis Mutungi na viongozi wa vyama vya siasa Ikulu jijini Dar es salaam.
PICHA NA IKULU

No comments:

Post a Comment