Sunday, August 25, 2013

MAMBO YA MAADHIMISHO YA SIKU YA POLISI DAY KAGERA

 Jeshi la polisi mkoani Kagera katika kuadhimisha siku ya jeshi hilo lilishiriki kikamilifu katika zoezi zima la kufanya usafi katika mazingira ya Hospitali kuu ya mkoa wa Kagera.
 Baadhi ya askari walioshiriki kwenye zoezi la usafi wakiongozwa na mtaalamu Christopher.





 Baadhi ya askari walioshiriki kwenye zoezi la usafi.


No comments:

Post a Comment