Monday, August 26, 2013

HALMASHAURI YA WILAYA YA BUKOBA YAPOKEA VIFAA VYA TIBA

 Dr. Regina Kapinga (kushoto), mwakilishi wa Bill Gate foundation akifafanua jambo, alikuwa katika hoteli ya Kolping iliyoko katika manispaa ya Bukoba.
 Bw.Shumbusho akionyesha vifaa vya tiba.





Dr Mugula akipokea karatasi yenye vifaa vya tiba.

No comments:

Post a Comment