-- 
 Muziki wa Injili ulitawala. Hapa Solomon Mukubwa akitumbuiza
 MC wa Tamasha la Matumaini Godwin Gondwe a.k.a Double G akiwa kazini
 Bango lajieleza
 Uzalendo kwanza
 Nnape Nnauye akiwa na wadau
 JK akitete jambo na Eric Shigongo, mwandaaji wa Tamasha la Matumaini
 Wagunge wapenzi wa Simba wakipiga jalamba
 Profesa Maji Marefu akiongoza wabunge wapenzi wa Simba
 Wabunge wapenzi wa Simba
 Mwigulu Mchemba na skafu yake akiwa na  wabunge wapenzi wa Yanga
 Halima Mdee (kati mbele, bukta nyeusi) akiongoza kikosi cha wabunge wapenzi wa Yanga
 Kikosi kazi cha wabunge wapenzi wa Yanga
 Da' Asha Baraka akiwa na Mwenyekiti wa Baraza la Michezo (BMT) Dionis Malinzi
 Mwandaaji wa Tamasha la Matumaini akisema machache
 Millard Ayo wa Clouds FM akirusha vitu live
 Wapiganaji wakila mzigo
 Wapiganaji kazini
 Wapiganaji wakishuhudia
 Wapiganaji wakirekodi matukio
 JK akifungua rasmi Tamasha la Matumaini
 JK akiwaasa Watanzania wasidanganyike na watu wanaotaka kuwatenganisha
 Hatudanganyiki....
 JK akilisifia Tamasha la Matumaini kuwa ni moja ya majibu ya wanaotaka kutenganisha Watanzania kwa misingi ya kikabila ama kidini
 JK akijiandaa kupiga filimbi kuanzisha mechi ya wabunge wpenzi wa Yanga na Simba
 JK akiwa refarii akihesabu wachezaji kabla ya kuanzisha mechi
 JK akiaga baada ya kuanzisha mpambano huo 
 JK akikaribishwa na mwandaaji Eric Shigongo. Kati ni Waziri wa Habari,  Vijana, Utamaduni na Michezo Dkt Fenella Mukangara
 JK akiingia uwanja wa Taifa akiongozana na Waziri wa Habari,  Vijana, Utamaduni na Michezo Dkt Fenella Mukangara na Eric Shigongo
 JK akiwa meza kuu
 Meza kuu
 Mwandaaji wa tamasha Eric Shigongo akiongea machache
 JK akimpongeza Eric Shigongo kwa hotuba nzuri
 Waziri wa Habari,  Vijana, Utamaduni na Michezo Dkt Fenella Mukangara akimkaribisha JK kutoa hotuba yake
 Tamasha la Matumani Oye!
 JK akiongea na kadamnasi kwenye tamasha hilo katika hotuba iliyorushwa moja kwa moja na TBC
 TUSIDANGANYIKE...
 JK akiongea na kadamnasi
 "Tamasha hili ni majibu kwa wanaotutakia mabaya Tanzania...."
 JK akiongea na kadamnasi
 JK akisalimiana na wachezaji wa Bongo Movie
 JK akipeana mikono na kipa wa zamani  Yanga na Taifa Stars Peter Manyika ambaye sasa ni msanii wa Bongo Fleva na Bongo Movie
 Jk akisalimiana na Bongo Movie Stars
 JK akisalimiana na Katibu Mkuu wa FAT mstaafu Mwina Kaduguda
 JK akisalimiana na kipa (wa kweli)  wa Yanga Barthez
 JK akiingia uwanjani
 Kikosi cha wabunge wapenzi wa Simba
 Waamuzi na wabunge wapenzi wa Yanga
 JK akilakiwa na refa Othman Kazi
 JK akiweka saini katika mpira utaochezewa
JK akiweka saini 
 JK akitambulishwa waamuzi
 JK akikagua wabunge wapenzi wa Yanga
 JK akisalimiana na straika mkali wa Yanga kutoka DRC
 Hiki kifriji vipi.....
 JK akisalimiana na wabunge wa Yanga. Huyu ni Esther Bulaya
 JK akisalimiana na mwenyekiti wa kamati ya ufundi wa Yanga
JK akisalimiana na kiongozi-mchezaji wa Yanga
 JK akisalimiana na mshambuliaji hatari wa yanga Halima Mdee

 JK akisalimiana na nahodha wa Simba Amos Makala
 JK akisalimiana na Simba
 JK akisalimiana na mchezaji wa kulipwa wa wabunge toka Nzega, Dkt Hamisi Kigwangalla
 JK akisalimiana na Profesa Maji Marefu
 JK akisalimiana na wachezaji wabunge wa Simba
 JK akisalimiana na mshambukliaji hatari wa Simba William Ngeleja
 JK akiendelea kusalimia wabunge wana Simba
 JK akisalimiana na beki tatu wa wabunge wa Simba Joshua Nassari
 Haya waheshimiwa... mchezo mwema...
 Nyimbo ya Taifa ikipigwa, kila mtu mguu sawa
 Wimbo wa Taifa 
 JK akipungia umati unaomshangilia kwa nguvu
 JK akipena mkono na mashabiki
 JK akiteta jambo na JB huku Dkt Cheni akiwa pembeni
 Mashabiki wakiwa nje ya uwanja
 Nyomi ya nje inapita ya ndani
Mshabiki wa Yanga akielekea uwanjani