Tuesday, March 19, 2013

WAZIRI MWAKYEMBE MKOANI KAGERA

 Waziri wa uchukuzi Harrison Mwakyembe (katikati) akiwasili kwenye uwanja wa ndege wa Bukoba, kulia Charles Kizeba naibu wake na kushoto, Seif Hussein afisa anayeshughulikia masuala ya miundombinu mkoani Kagera.
 Mkuu wa mkoa wa Kagera, Kanali Mstaafu Fabian Massawe akitoa maelezo kwa waziri Mwakyembe.
 Waziri Mwakyembe akiongea na mkuu wa mkoa wa Kagera alimuahidi kushughulikia malalamiko ya wananchi wanaodai fidia ambao waliondolewa kwenye maeneo yao kupisha upanuzi wa uwanja wa ndege wa Bukoba.



 Waziri Mwakyembe akiwa katika picha ya pamoja na viongozi mbalimbali wa serikali baada ya kupata taarifa za upanuzi wa uwanja wa ndege wa Bukoba.
Waziri Mwakyembe akikagua uwanja.

No comments:

Post a Comment