Monday, March 18, 2013

RAIS AKIPOKEA UJUMBE MAALUMU TOKA BOTSWANA


Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipokea ujumbe maalumu kutoka kwa Rais wa Botswana uliowasilishwa na  Waziri wa Mambo ya Nje ya nchi hiyo Mhe Pandu Skelemi
leo Ikulu jijini Dar es salaam.

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisoma ujumbe maalumu kutoka kwa Rais wa Botswana uliowasilishwa na Waziri wa Mambo ya Nje ya nchi hiyo Mhe Pandu Skelemi
leo Ikulu jijini Dar es salaam.

No comments:

Post a Comment