Thursday, March 21, 2013

Dr. Kamala aendele kuinadi Tanzania

Balozi wa Tanzania katika nchi za Ubelgiji, Uholanzi na Luxembourg Balozi Dkt. Diodorus B Kamala akiwa na Rais wa Mahakama ya Dunia ya Haki (ICJ) H.E Peter Tomka. Balozi Kamala alienda alienda ofisini kwa Rais wa ICJ kwa nia ya kujitambulisha rasmi. Balozi Kamala anaratibu mahusiano ya Tanzania na mahakama ya ICJ.

No comments:

Post a Comment