Saturday, February 23, 2013

MAHAFALI YA KWANZA YA SHULE YA SEKONDARI YA JOSIAH ILIYOKO MKOANI KAGERA

 Wahitimu wa kidato cha sita katika shule ya sekondari ya Josiah.
 Baadhi ya wageni walioudhuria mahafali ya kwanza ya shule ya sekondari ya Josiah, kutoka kushoto ni Bw. Mashasi anayefuata Bw. Rutabingwa.


 Wahitimu wa kidato cha sita wakiwasilisha mawazo yao kwa njia ya risala iliyosomwa na Mwanafunzi Mary Kazimoto.
 Mkuu wa mkoa wa Kagera,Kanali mstaafu Fabian Massawe akiteta jambo na askofu msaidizi wa jimbo la Bukoba, Methodius Kilaini.
 Mkuu wa shule ya Josiah sekondari,Adella Kashushula akielezea historia ya shule wakati wa mahafali.
 Padre Mrosso  na Bw.Sendwa kulia.
 Mwenyekiti wa bodi ya shule, Johansen Rutabingwa akiongea wakati wa mahafali.
Mkuu wa mkoa wa Kagera, kanali mstaafu Fabian Massawe akihutubia wakati wa mahafali.

No comments:

Post a Comment