Wednesday, February 27, 2013

KIKAO CHA TUME YA UTUMISHI WA MAHAKAMA NA WADAU

 Baadhi ya maofisa wa tume ya mahakama, kutoka kulia ni Jaji Kiongozi, Fikir Jandu, Jaji wa mahakama ya rufaa Edward Rutakangwa, mkuu wa mkoa wa Kagera, kanali mstaafu Fabian Massawe na Jaji mfawidhi wa mahakama kuu kanda ya Bukoba, Gadi Mjemas.


 Baadhi ya washiriki wa kikao kilichoandaliwa na tume ya mahakama, aliyesimama ni mkuu wa wilaya ya Ngara, Bw. Costa Kanyasu.
 Mkuu wa wilaya ya Bukoba, Bi. Ziporah Pangani alikuwa mmoja wa walioudhuria kikao hicho.
 Kulia ni mkuu wa wilaya ya Bukoba, kanali mstaafu Issa Njiku.

 Bw.Richard Kwitega aliyevaa tai nyekundu alikuwa miongoni mwa maofisa wa ofisi ya mkuu wa mkoa walioudhuria kikao hicho.
 Baadhi ya mahakimu walioudhuria kikao hicho.

Jaji wa mahakama ya rufaa akiwasilisha hoja zake wakati wa kikao.

No comments:

Post a Comment