Saturday, February 23, 2013

KAMANDA WAJESHI LA POLISI KAGERA AWATAHADHALISHA WANANCHI

 Kamanda wa jeshi la polisi mkoani kagera,Philip Kalangi akiongea na waandishji wa habari amewatahadhalisha wananchi kuwa makini na matapeli wanaouza madini feki aina ya dhahabu na almasi
 Baadhi ya maofisa wa jeshi la polisi.
Dhahabu feki hizi hapa.

No comments:

Post a Comment