Tuesday, January 29, 2013

PINDA AKUTANA NA WAFANYBIASHARA KUJADILI MGOGORO WA GESI

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Wafanyabiashara wa Mtwara kuhusu mgogoro wa gesi kwenye ukumbi wa VETA mjini Mtwara, Januari 28, 2013. Kulia kwake ni Mkuu wa Mkoa wa Mtwara, Joseph Simbakalia.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

Post a Comment