Saturday, January 26, 2013

MAMBO YA NDONDI HAYO

 Francis Cheka, mmoja wa mashuhuda wa ngumi za ridhaa ya kuwapata wanandondi wa kuuwakilisha mkoa wa Kagera kwenye mashindano ya taifa, yalifanyika kwenye ukumbi wa klabu wa Lina's uliko katika manispaa ya Bukoba.
 Wanandondi wakijinadi.
 Mwenyekiti wa chama cha ndondi Kagera, Leoperd Kayunga, na afisa utamaduni wa mkoa wa Kagera Rugeiyamu.
 Msanii  Afisa Kazinja akifanya vitu vyake.

Kundi la BK Sunday aliyepiga wimbo wa SEKDO.

No comments:

Post a Comment