Saturday, January 26, 2013

BONANZA KWA WATOTO WA SHULE ZA MSINGI LILILOANDALIWA NA JAMBO TANZANIA

 Kaimu katibu tawala wa mkoa wa Kagera, Fikir Kisimba na mkuu wa wilaya ya Misenyi Kanali mstaafu Issa Njiku (kushoto) waliokuwa miongoni mwa walioudhuria bonanza.
 Muasisi wa jambo Tanzania toka Ujerumani akitoa historia ya Jambo Tanzania.
 Wanafunzi walioshiriki kwenye bonanza hilo.



No comments:

Post a Comment