Tuesday, December 25, 2012

MAMBO YA SHAMLASHMLA ZA KUSHEREKEA SIKUKUU YA KRISMAS MKOANI KAGERA

 Wakazi wa manispaa ya Bukoba wakisherekea sikukuu ya krismas kwenye ufukwe wa ziwa victioria uliko maeneo ya hoteli ya Spice.
 Hapa wanaonekana wakila na kunywa.
 Watoto wakiogelea kwenye ufukwe wa ziwa victoria, eneo hili huwa maarufu sana wakati wa sherehe za sikukuu za kidini na mwaka mpya.
 Wadau wa mtandao huu, kulia ni Ayesiga Rugalabamu, na kushoto ni Ivan Kalumuna Rugalabamu.
Mmoja wa wabia wa mtandao huu wa kijamii, Margareth Rugalabamu, naye alikuwa miongoni mwa waliosherekea sikukuu ya krismas  kwenye maeneo ya ufukwe wa ziwa Victoria.

No comments:

Post a Comment