Tuesday, December 11, 2012

MAMBO YA IMANI ZA KISHIRIKINA

 Nyumba ya mmiliki ambaye jina limeifadhiwa anayetuhumiwa na wananchi kwa kujihusisha na masuala ya ushirikina iko eneo la kata kashai katika manispaa ya Bukoba.
 Baadhi ya wananchi wakiwa nje ya nyumba ya mtuhumiwa wa kujihusisha na masuala ya uchawi.
Mpangaji wa shirika lisilo la kiserikali la TADEPA kihama kwenye nyumba ya mmiliki anayetuhumiwa kwa kijihusha masuala ya uchawi.
 Huyu anayehama sio mwingine ni aliyekuwa mpangaji katika nyumba hiyo ambaye mtumishi wa kampuni ya simu ya Zantel.
Kundi la watu likiwa limejikusanya nje ya nyumba ya mtuhumiwa huyo, hata hivyo lilitawanywa na jeshi la polisi lililolazimika kutumia mabomu ya machozi.

No comments:

Post a Comment