Monday, December 24, 2012

JESHI LA POLISI KAGERA LATHIHIRISHA LINAVYOTEKELEZA WAJIBU

 Baadhi ya vitu vilivyokamatwa na jeshi la polisi mkoani Kagera kufuatia operation mbalimbali lililoziendesha kwenye maeneo mbalimbali yaliyoko mkoani humo, vitu hivyo ni pamoja na viungo vya wanyama mbalimbali vikiwemo meno, pembe na ngozi, bunduki aina ya SMG na risasi zake, pesa bandia na kamba zinazotumiwa na waharifu kutekeleza uharifu, pia kufuatia msako huo zaidi ya bunduki 15 zilizokuwa zinamilikiwa kinyume na sheria zilisalimishwa.
 Kamanda wa jeshi la polisi mkoani Kagera Philip Kalangi, akionyesha bunduki aina ya SMG iliyokamatwa kufuatia operation iliyoendeshwa na jeshi la polisi mkoani Kagera iliyopendeshwa na mkuu wa upelelezi wa makosa ya jinai mkoani Kagera (kukia) Mwaibambe.


 Mkuu wa upelelezi wa makosa ya jinai, Mwaibambe akionyesha pembe za wanyama mbalimbali zilikamatwa na jeshi la polisi kufuatia msako lililouendesha.

Silaha mbalimbali zilizosalimishwa kwa hiari kufuatia operation ya jeshi la polisi.

No comments:

Post a Comment