Saturday, November 24, 2012

UZINDUZI WA MKOA WA KATAVI Friday, November 23, 2012 5:38 AM

Waziri Mkuu, Mizengoi Pinda  akitazama mtambo wa kuchemsha maji kwa kutumia nguvu ya jua wakati alipokagua banda la CARMATEC Novemba 23, 2012 katika monyesho ya kuadhimisha uzinduzi wa mkoa wa Katavi unaotarajiwakufanyiak Vovemba 24, 2012. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

Post a Comment