Saturday, November 03, 2012

Rais Kikwete azindua rasmi Taasisi ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela - Arusha (NM-AIST)

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimkabidhi  Hati ya Ardhi ya eneo la   Taasisi ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela  jijini Arusha  Makamu wa Rais Dkt Mohamed Ghalib Bilali ambaye ndiye Mkuu wa Chuo hicho katika sherehe za uzinduzi wake rasmi  Ijumaa Novemba 2, 2012. Kulia ni Makamu Mkuu wa Taasisi hiyo Profesa Burton Mwamila.

No comments:

Post a Comment