Tuesday, November 20, 2012

MAKINDA AMLILIA MAKWETA

Spika wa Bunge Mhe Anne Makinda akitoa heshima zake za mwisho na kuuaga mwili wa marehemu Jackson Makwetta ambaye kabla ya kufariki kwake juzi alipata kuwa Mbunge na waziri katika wizara mbalimbali 

No comments:

Post a Comment