Sunday, November 25, 2012

FAMILY DAY YA BENKI YA CRDB MATAWI YA KARAGWE NA BUKOBA YAFANA

 Watumishi wa CRBD tawi la Bukoba wakitambulishwa wakati wa family day ya benki hiyo iliyofanyika kwenye ufukwe wa ziwa victoria na kupambwa na michezo mbalimbali.
 Familia ya Victor mtumishi wa benki ya CRBD tawi la Bukoba.
 Mchezo wa mpira wa miguu ni moja ya burudani zilizopamba sherehe hiyo.
 Baadhi ya watumishi wa CRDB walioshiriki kwenye mpambano wa mpira wa miguu.
 Bw. Sendwa, Meneja wa CRDB wa tawi la Bukoba akitetra jambo na mmoja wa wadau wa benki ya CRDB.
 Mambo ya vollyball.
 Watumishi wa benki CRDB wa tawi la karagwe wakiwashangilia wanawake walioshinda mchezo wa kuvuta kamba.
Baadhi ya wadau walioudhulia sherehe, wa pili toka kulia ni Mmiliki wa saloon ya kisasa inajukana kwa jina la Nice and beauty.

No comments:

Post a Comment