Saturday, October 06, 2012

WAZIRI MKUU PINDA AWASILI KAGERA

 Waziri mkuu Mizengo Pinda  akisalimiana na baadhi ya wajumbe wa kamati ya usalama ya mkoa wa Kagera mara baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Bukoba kuhudhuria uzinduzi wa kanisa kuu la jimbo katoriki la Bukoba.
 Mkuu wa mkoa wa Kagera kanali mstaafu Fabian Massawe akimpokea Pinda.
Massawe akiongea jambo na waziri wa mali asili na utalii Balozi Khamis sued Kagasheki wakati wakisubili ujio wa waziri mkuu, Pinda kwenye uwanja wa ndege wa Bukoba, kushoto ni katibu tawala wa mkoa wa Kagera Nassor Mnambila na baadhi ya wajumbe wa kamati ya ulinzi na usalama ya mkoa wa Kagera.

No comments:

Post a Comment