Wednesday, October 17, 2012

PINDA JIJINI LONDON

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda  na mkewe Tunu wakiwa  na Mtangazaji wa Shirika la Habari la Uingereza BBC, Zawadi Machibya (kulia) wakati alipozungumza na Watanzania waishio Uingereza, kwenye Ubalozi wa Tanzania uliopo London Oktoba 16, 2012. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)


No comments:

Post a Comment