Thursday, October 18, 2012

MPANGO WA JESHI LA POLISI LA KUWAPIMA WANANCHI KWA HIARI WACHANGAMKIWA





Mganga mkuu wa jeshi la polisi mkoani Kagera Dr. Husein Gamu, ambaye amehamasisha mpango mzima  wa kuwapima vipimo vya UKIMWI kwa  hiari  zoezi hilo lilifanyika eneo la standi kuu ya mabasi iliyoko katika manispaa ya Bukoba na kuhudhuriwa na watu wengi hususani vijana.

1 comment: