Friday, October 26, 2012

MKUU WA MKOA KAGERA ATOA ZAWADI YA IDD

 Sehemu ya zawadi iliyotolewa na mkuu wa mkoa wa Kagera Kanali Mstaafu Fabian Massawe kwa vikundi visivyojiweza kwa ajili ya kusherekea sikukuu ya Idd, hawa ni mbuzi.
Massawe akitoa zawadi kwa msimamizi wa kituo cha kulea watoto yatima cha Uyacho kilichoko Hamgembe, Kagera.
 Msimamizi wa kituo cha kulelea yatima cha Nusuru yatima akipokea zawadi ya sikukuu ya Idd.
 Massawe akimungalia mmoja wa yatima wanaolelewa katika kituo cha Nusuru yatima kilichoko Kashai, alichukizwa na hali aliyokuwa nayo mtoto huyo.
 Msimamizi wa kituo cha kulea wazee cha Kiilima akipokea zawadi ya mbuzi toka kwa Massawe.
Baadhi ya viongozi mkoani Kagera walioudhuria tafrija fupi ya kukabiddhi zawadi ya Idd kwa wasiojiweza, ilifanyika kwenye viwanja vya Ikulu ndogo iliyoko katika manispaa ya Bukoba.

No comments:

Post a Comment