Monday, October 29, 2012

MKE WA WAZIRI PINDA ATUNUKIWA SHAHADA

  Mke wa Waziri Mkuu, Mama Tunu Pinda akipokea  zawadi ya ua kutoka wadogo zake Salma Rehani (kulia), Mkaroga Rehani (wapili kulia) na Mabe Rehani baada ya kutunukiwa Shahada ya Uongozi wa Biashara  katika mahafali ya Chuo Kikuu Huria cha Tanzania yaliyofanyika kwenye viwanja vya Chuo hicho.
Mkuu wa Chuo Kikuu Huria cha Tanzania, John Samwel Malecela akimtunuku Shahada ya Uongozi wa  Biashara, Mke wa Waziri Mkuu, Mama Tunu Pinda katika Mahafali ya Chuo Kikuu Huria  yaliyofanyika kwenye viwanja vya Chuo hicho Kibaha Oktoba 27, 2012. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

Post a Comment