Wednesday, October 10, 2012

KONGAMANO LA WAANDISHI WA HABARI KAGERA

 Mshiriki wa kongamano Joshua Kyalukamba akiwasilisha jambo wakati wa kongamano.
Baadhi ya viongozi wa chama cha waandishi mkoani Kagera (KPC) na meya wa manispaa ya Bukoba Anatory Amani aliyevaa suti nyeusi.

Wawakilishi wa viongozi wa serikali kulia ni mwakilishi wa ofisi ya mkuu wa mkoa na kushoto mwakilishi wa ofisi ya kamanda wa jeshi la polisi mkoani Kagera.

No comments:

Post a Comment